KUWA MAKINI SANA NA NAMNA UNAVYOTUMIA MUDA WAKO
"Muda ni wa thamani sana kuliko fedha , unaweza kuzipata fedha kila siku Lakini muda hauwezi kuupata ukishaupoteza.
Hivyo, tunatakiwa muda vizuri ule tunaoupata na kwa umakini mkubwa zaidi.
Epuka kupoteza muda kwa kutofanya yale yasiyo na umuhimu kwako.
Maana wengi tunahangaika na mambo mengi sana ambayo hayana mchangi wowote katika maisha yetu.
Pale upatapo nafasi ya kufanya jambo, hakikisha unalikamilisha na kwa usahihi kabla ya kuanza kufanya jambo jingine.
Wekeza muda wako kwa kujifunza zaidi , wekeza zaidi ndani yako, ilishe akili yako maarifa mapya kila siku ili kuweza kuwa na mabadiliko makubwa hapo baadaye.
Wekeza ndani yako kwa kusoma vitabu, kusoma Makala na kuhudhuria semina mbalimbali
Jifunze kila siku na hii ni ni namna sahihi ya kutumia muda wako Vizuri.
Huwa napenda kusema kuwa, watu wengi tunalalamika na kukiri kwamba " muda mchache , na Mambo mengi,
Swali langu ni hili Je, hayo Mengi uliyo nayo yana mchango wowote katika maisha yako??"
MUHIMU; Maana Halisi ya Kupoteza Muda (kutoka kwangu binafsi) ni kuhangaika na kufanya mambo mengi sana ambayo hayana mchango wowote katika maisha yetu(maisha ya Kusudi).
Kaa chini, tafakari na kisha yajue malengo yako unayoyafanyia kazi na ujue yale mambo yatakayokufikisha huko(ukamilisho wa malengo yako) na hangaika na hayo tu.
See you Shining and enjoying the cake!
Joshua Golyama
golyamajoshua@gmail.com
Simu;0764257495/0622163323
Blogu;
"Muda ni wa thamani sana kuliko fedha , unaweza kuzipata fedha kila siku Lakini muda hauwezi kuupata ukishaupoteza.
Hivyo, tunatakiwa muda vizuri ule tunaoupata na kwa umakini mkubwa zaidi.
Epuka kupoteza muda kwa kutofanya yale yasiyo na umuhimu kwako.
Maana wengi tunahangaika na mambo mengi sana ambayo hayana mchangi wowote katika maisha yetu.
Pale upatapo nafasi ya kufanya jambo, hakikisha unalikamilisha na kwa usahihi kabla ya kuanza kufanya jambo jingine.
Wekeza muda wako kwa kujifunza zaidi , wekeza zaidi ndani yako, ilishe akili yako maarifa mapya kila siku ili kuweza kuwa na mabadiliko makubwa hapo baadaye.
Wekeza ndani yako kwa kusoma vitabu, kusoma Makala na kuhudhuria semina mbalimbali
Jifunze kila siku na hii ni ni namna sahihi ya kutumia muda wako Vizuri.
Huwa napenda kusema kuwa, watu wengi tunalalamika na kukiri kwamba " muda mchache , na Mambo mengi,
Swali langu ni hili Je, hayo Mengi uliyo nayo yana mchango wowote katika maisha yako??"
MUHIMU; Maana Halisi ya Kupoteza Muda (kutoka kwangu binafsi) ni kuhangaika na kufanya mambo mengi sana ambayo hayana mchango wowote katika maisha yetu(maisha ya Kusudi).
Kaa chini, tafakari na kisha yajue malengo yako unayoyafanyia kazi na ujue yale mambo yatakayokufikisha huko(ukamilisho wa malengo yako) na hangaika na hayo tu.
See you Shining and enjoying the cake!
Joshua Golyama
golyamajoshua@gmail.com
Simu;0764257495/0622163323
Blogu;
Comments
Post a Comment