Skip to main content

Posts

Showing posts with the label HEKIMA YA SIKU

JENGA TABIA YA KUJIFUNZA KILA WAKATI , ONDOA KIBURI KATIKA KUJIFUNZA.

JENGA TABIA YA KUJIFUNZA KILA WAKATI ,  ONDOA KIBURI KATIKA KUJIFUNZA. Unapokosa tabia ya kujifunza na kuwa na hali ya kujiona unajua kila kitu utakuwa nayo na Kwa Maana Hiyo hautaweza kuwa na spirit ya kuendelea kujifunza zaidi na zaidi. Lakini unapokuwa unajifunza kila wakati, utagundua kwamba Mambo mengi huyajui hii itaamusha Nguvu mpya, ari mpya na hamasa ya kue ndelea kujifunza zaidi. Jifunze zaidi ili upate hamasa ya kujifunza zaidi. Na MUHIMU,  ili uweze kujifunza ni lazima ujione hujui , na kama utaona kama unajua kamwe hautaweza kujifunza Kwa maneno Mengine unakuwa na KIBURI KATIKA KUJIFUNZA ambacho Kinakuzuia wewe kujifunza zaidi, kwa sababu ndani yako kutakuwa na Sauti kama hii  'mbona kila kitu ninakijua, kujifunza ni kupoteza muda' Hakikisha unajitahidi unakuwa na Tabia Ya KUJIFUNZA, kwa sababu katika Karne hii Ya 21 kuna Maendeleo makubwa sana Ya Teknolojia na Ni ULIMWENGU WA TAARIFA hivyo usipojifunza kamwe hauwezi kuwa na Taarifa sa...

HEKIMA YA SIKU; Usijilazimishe kufanya yasiyo sahihi/usiyoyapenda ili kuwaridhisha/kuwafurahisha wengine.

Habari  rafiki  mpendwa,  Ni  kawaida  ya  kila  mtu/ mwanadamu   kufanya jambo   ambalo   litawaridhisha   wale wanaolitazama   na   pengine   kusifiwa   pia,   hata kama   jambo   hilo   mtu   hapendi   kulifanya, analifanya   ili   tu   kuwaridhisha   watu   wengine. Asili   ya   sisi   wanadamu   ni   kwamba,   tunajisikia   furaha   sana   pale   tunapolifanya jambo   na   watu   wengine   kuridhishwa   nalo,   na   mategemeo   yetu   ni   ili   wanadamu   waweze   kutusifia   kwa   kazi   nzur...