Elimu Kitaa Foundation inakukakaribisha Katika Program ya Elimu Kitaa
Habari ya kwako rafiki yangu. Bila shaka uko vizuri na unaendelea vyema na majukumu ya kila siku.
Naitwa Joshua Golyama mwanafunzi wa Shahada ya awali ya Sayansi ya Kilimo kwa Ujumla(Bsc.Agriculture General) kutoka Chuo Kikuu cha Sokoine Cha Kilimo (SUA
Mwanzilishi wa Program inayoitwa ELIMU KITAA.
Leo ninapenda kukuletea maeneo mbalimbali ambayo unaweza yatembelea na tukajifunza pamoja na mimi.
Maeneo hayo utapata nafasi ya kusoma makala ambazo ninaziandika kila siku na kuziweka humo, na tukajifunza kwa pamoja na kupata maarifa zaidi na zaidi.
Kwanza kabisa nikupe utangulizi wa maana halisi ya Neno hili ELIMU KITAA.
Elimu Kitaa ni program inayohusika na kuandika makala mbalimbali katika mitandao ya Kijamii na kuandaa semina mbalimbali zenye kutupa maarifa muhimu sana katika maisha yetu.
Na Katika Program hii ya Elimu Kitaa tunasimamia hapa HEKIMA, MAARIFA na UFAHAMU ; Wekeza na Saidia Wengine
Lengo kuu ni Kufundisha na kuwawezesha watu kutambua Uwezo binafsi na KUSUDI LA MUNGU maishani mwao.
Hivyo nikukaribishe sana rafiki yangu kujiunga na program hii nzuri kabisa ya kujifunza.
Na unaweza kujifunza kupitia maeneo yafuatayo
1. Tembelea ukurasa wa Facebook unaoitwa ELIMU KITAA.Tumia kiungo hiki kuitembelea na kujifunza zaidi.
Fb.me/elimukitaa2020
2. Tembelea ukurasa mwingine wa Facebook unaoitwa Maneno Ya Ushindi, Huku unajifunza mambo ya kiroho zaidi na Kujifunza Neno La Mungu.
Tumia kiungo hiki kuutembelea na kujifunza pia. Fb.me/manenoyaushindi
3. Tembelea ukurasa wa Facebook unaoitwa Joshua E Golyama. Unaweza kuutembelea kwa kutumia kiungo hiki Fb.me/JGolyama na tumia kiungo hiki pia kuona makala zaidi https://www.facebook.com/joshua.golyama.18
4. Blogu ya Elimu Kitaa ambako unajifunza mambo mengi kwa uzuri zaidi. Tembelea blogu hiyo kwa kutumia kiungo hiki elimukitaa2020.blogspot.com.
5. Tembelea pia Mtandao wa Kijamii wa Instagram kupata makala nzuri sana za kukusaidia kukua na kuyafahamu mambo mengi pia.
Tumia kiungo hiki kuingia https://www.instagram.com/p/CJkmZqNBspL/?igshid=1hmdcz961630u
6. Kujiunga na group la Whatsapp la Elimu Kitaa, tumia kiungo hiki kujiunga na group letu https://chat.whatsapp.com/DDFbrNcx1dwFlcovU7cF6B
7. Mwisho Tembelea na kujifunza katika blogu nyingine mpya kabisa ya Kujifunza Neno La Mungu, inayoitwa MANENO YA USHINDI kwa kutumia kiungo hiki. manenoyaushindi.blogspot.com
MWISHO; Unaweza kuwasiliana nami kwa Njia ya sms au Whatsapp kwa namba hizi 0764 257 495
BARUA PEPE; golyamajoshua@gmail.com
Au elimukitaa2020@gmail.com
Karibu sana ndugu yangu, tujifunze Pamoja.
Joshua Golyama
(Mwandishi | Mhamasishaji | Mwalimu | Blogger
See You Shining And Enjoying The cake
#ElimuKitaa #Najifunza.


Comments
Post a Comment