Skip to main content

Posts

Showing posts from April, 2021

MAKALA 01; RAFIKI BORA NI VITABU (THE BEST FRIEND IS BOOKS)

  MAKALA 01; RAFIKI BORA NI VITABU (THE BEST FRIEND IS BOOKS)   Habari yako rafiki yangu, Ni matumaini yangu kwamba u mzima wa afya kabisa, Karibu katika mfulululizo wa makala hizi kutoka katika kitengo cha KUTOKA VITABUNI, Ili kuweza kuwa bora katika maisha yako ni vyema sana ukaambatana na kuzungukwa na watu walio na kile ambacho wewe unataka kuwa. Ni asilimia 85% ya mafanikio yako huchangiwa na watu wanaokuzunguka.   Marafiki zako, ndugu zako na jamaa zako ambao unatumia muda mwingi kuwa nao kazini, shuleni, ofisini na maeneo mbalimbali ni muhimu wakachunguzwa na kuona kama wanaweza kukupeleka kule ambako unataka kufika. Upo msemo wa Kiswahili ambao huzungumzwa kwamba ukitembea na mwizi na wewe utakuwa mwizi, hii humaanisha kwamba ukiambatana na mtu mwenye tabia Fulani,automatically kuna baadhi ya mambo ambayo utayavuta kutoka kwa rafiki yako. Eneo hili ni muhimu sana kwa sababu linachangia kwa kiwango kikubwa katika mafanikio yetu na katika safari ya kufika ku...